Mechi ya El Clasico iliyokuwa inazikutanisha timu za FC Barcelona dhidi ya Real Madrid iliyotarajiwa kuchezwa Octobe 26 2019 katika uwanja wa Nou Camp Catalunya jijini Barcelona imeahirishwa kwa sababu za kiusalama.
Game hiyo ya El Clasico imeahirishwa kwa sababu za machafuko ya kisiasa yanayoendelea katika jimbo la Catalunya, club za Real Madrid na FC Barcelona zimepanga kukutana na Jumatatu na kujadiliana ni lini itachezwa mechi hiyo.
Mwanzo ilipendekezwa mchezo huo ukachezwe katika dimba la Santiago Bernabeu katika jiji la Madrid, ila kocha wa Barcelona Ernest Valverde amekataa mchezo huo kuamishiwa Madrid kwa sababu itakuwa inaenda kuchezwa siku 3 ikiwa wametoka October 23 kucheza dhidi ya Slavia Prague hivyo wachezaji watakuwa wamechoka.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
