Mechi ya El Clasico iliyokuwa inazikutanisha timu za FC Barcelona dhidi ya Real Madrid iliyotarajiwa kuchezwa Octobe 26 2019 katika uwanja wa Nou Camp Catalunya jijini Barcelona imeahirishwa kwa sababu za kiusalama.
Game hiyo ya El Clasico imeahirishwa kwa sababu za machafuko ya kisiasa yanayoendelea katika jimbo la Catalunya, club za Real Madrid na FC Barcelona zimepanga kukutana na Jumatatu na kujadiliana ni lini itachezwa mechi hiyo.
Mwanzo ilipendekezwa mchezo huo ukachezwe katika dimba la Santiago Bernabeu katika jiji la Madrid, ila kocha wa Barcelona Ernest Valverde amekataa mchezo huo kuamishiwa Madrid kwa sababu itakuwa inaenda kuchezwa siku 3 ikiwa wametoka October 23 kucheza dhidi ya Slavia Prague hivyo wachezaji watakuwa wamechoka.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
