Friday, July 26, 2019
Nchi yetu imeudhihirishia ulimwengu kuwa sisi ni Taifa huru - Rais Magufuli
Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema nchi imeudhihirishia ulimwengu kuwaTanzania ni Taifa huru na sio masikini.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo katika hafla ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mto Rufiji.
"Nchi yetu imeudhihirishia ulimwengu kuwa sisi ni Taifa huru na sio masikini,mradi huu ulipigwa vita ndani na nje ya nchi tangu tulipoonesha nia ya kuujenga, kwakuwa nchi yetu huru na sio masikini tuliamua tuutekeleze kwa fedha zetu wenyewe," amesema Rais Magufuli.
"Mradi huu utazalisha umeme mwingi kuliko umeme wote uliozalishwa nchini tangu tumepata Uhuru, tutakuwa na umeme wa kutosha, wa uhakika na wa bei nafuu, ujenzi wa uchumi wa viwanda kokote Duniani ni lazima uwe na uhakika wa umeme wa bei nafuu, mradi huu ni suluhisho."
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
