Friday, July 26, 2019
Nchi yetu imeudhihirishia ulimwengu kuwa sisi ni Taifa huru - Rais Magufuli
Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amesema nchi imeudhihirishia ulimwengu kuwaTanzania ni Taifa huru na sio masikini.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo katika hafla ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mto Rufiji.
"Nchi yetu imeudhihirishia ulimwengu kuwa sisi ni Taifa huru na sio masikini,mradi huu ulipigwa vita ndani na nje ya nchi tangu tulipoonesha nia ya kuujenga, kwakuwa nchi yetu huru na sio masikini tuliamua tuutekeleze kwa fedha zetu wenyewe," amesema Rais Magufuli.
"Mradi huu utazalisha umeme mwingi kuliko umeme wote uliozalishwa nchini tangu tumepata Uhuru, tutakuwa na umeme wa kutosha, wa uhakika na wa bei nafuu, ujenzi wa uchumi wa viwanda kokote Duniani ni lazima uwe na uhakika wa umeme wa bei nafuu, mradi huu ni suluhisho."
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...