Joto kali limeendelea kukumba miji kadhaa kaskazini magharibi mwa Ulaya huku viwango vya joto vikizidi kuongezeka na kuweka rekodi mpya nchini Uholanzi, Ubelgiji, Ujerumani na Ufaransa.
Hapo jana Ujerumani ilirekodi kiwango cha juu zaidi cha nyuzi joto 42.6 katika mji wa Lingen, kaskazini magharibi mwa jimbo la Saxony.
Katika mji mkuu wa Ufaransa Paris, viwango vya juu vilifikia nyuzijoto 42.6. Idara ya utabiri wa hali ya hewa nchini humo Meteo France imesema hicho ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa.
Baadhi ya miji ya Uholanzi na Ubelgiji pia imekumbwa na joto kali na maafisa katika nchi kadhaa wametoa tahadhari.
Hata hivyo viwango vya joto, vinatarajiwa kushuka leo Ijumaa na kesho
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
