Joto kali limeendelea kukumba miji kadhaa kaskazini magharibi mwa Ulaya huku viwango vya joto vikizidi kuongezeka na kuweka rekodi mpya nchini Uholanzi, Ubelgiji, Ujerumani na Ufaransa.
Hapo jana Ujerumani ilirekodi kiwango cha juu zaidi cha nyuzi joto 42.6 katika mji wa Lingen, kaskazini magharibi mwa jimbo la Saxony.
Katika mji mkuu wa Ufaransa Paris, viwango vya juu vilifikia nyuzijoto 42.6. Idara ya utabiri wa hali ya hewa nchini humo Meteo France imesema hicho ni kiwango cha juu zaidi kuwahi kurekodiwa.
Baadhi ya miji ya Uholanzi na Ubelgiji pia imekumbwa na joto kali na maafisa katika nchi kadhaa wametoa tahadhari.
Hata hivyo viwango vya joto, vinatarajiwa kushuka leo Ijumaa na kesho
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...