Friday, July 5, 2019
Najiona Nipo Tofauti na Wanawake Wengine..ila i Admire My Personality
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu,najiona natofautiana kimtazamo na wanawake wengi hapa duniani.
1. Wanawake wengi hawapendi kuadhibiwa na waume zao au wapenzi wao. Lakini mimi huwa napenda nikifanya kosa niadhibiwe. Nikisema kuadhibiwa simaanishi kupigwa hadi kudhalilishwa,No! namaanisha nikifanya kosa au ku behave tofauti mpenz wangu anigombeze na ikiwezekama kama nimemkasirisha sana hata anizabe kibao kimoja. Kwa kufanya hivi huwa nahisi ananipenda na ananijali.
2.Napenda sana mpenzi wangu awe "possesive towards me". Nikisema kuwa possessive toward me namaanisha mwanaume awe "ananimiliki".napenda mpenzi wangu anichukulie kama mimi ni mali yake, na si ya mtu mwingine.Kwahyo awe na authority na mimi, ajue nipo wapi? na nani? Nafanya nn?.Awe na wivu na mimi.Ila wanawake wengi, hulalamika kuwa wanafuatiliwa sana, kama mwanaume aki act hivi.
This is all I wanted to share with you friends! Enjoy your weekend!
From Malkia wa Urembo JF
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali shauri lililokuwa limefunguliwa na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...