Wednesday, July 3, 2019
Mitandao ya Whatsapp, INSTAGRAM na Facebook Yakubwa na Tatizo...Balaa Duniani
Mitandao ya Kijamii ya Facebook,Instagram na Whatsapp imekumbwa na tatizo jioni hii Jumatano Julai 3,2019 ambapo watumiaji wake kutoka maeneo mbalimbali duniani wanashindwa kupakia au/na kupakua picha,video na jumbe za sauti.
Bado wamiliki wa mitandao husika hawajatoa taarifa kuhusu tatizo hilo.
*****
Some Facebook, Instagram and WhatsApp users cannot upload photos, videos and files.
Facebook, which owns all three apps, said it was aware of the issue and was "working to get things back to normal as quickly as possible".
The company's main social network, its two messaging apps and image-sharing site Instagram have billions of users.
Many people took to rival platform Twitter to highlight the problem, with #instagramdown trending on the site.
Me turning my wifi on and off 25 times in a row and suddenly opens twitter and realized... ohh! stop blaming your wifi Everytime😂🤣🤣🤣 #instagramdown #WhatsAppDown #facebookdown
In March, Facebook and Instagram suffered their longest period of disruption ever. Problems also struck both apps as well as WhatsApp in April.
Facebook has more than 2.3 billion monthly active users and Instagram has one billion.
The Facebook Messenger app, which is often installed separately, is also affected.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
