Baadhi ya mashabiki na wanachama wa klabu ya Yanga wamelitupia lawama Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuipangia Simba kucheza na Sevilla ya Spain.
Hatua hiyo imekuja mara baaa ya TFF kuthibitisha kuwa Simba itakipiga na Sevila kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ukiwa ni mchezo wa kirafiki kuelekea msimu ujao.
Mashabiki na wanachama hao wamesema kuwa awali ilielezwa kulipaswa kufanyike mechi baina ya watani wa jadi ili mshindi ndiyo acheze na Sevilla.
TFF kwa kushirikiana na SportPesa wameamua kuwachagua Simba kucheza na Sevilla kwa kuangalia ubora wa miaka ya hivi karibuni.
Rekodi zinaonesha kuwa Simba ndiyo wamekuwa bora zaidi katika Ligi Kuu Bara kwa miaka ya hivi karibuni ukilinganisha na timu zingine
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
