Friday, April 26, 2019
Rais Kim aishutumu Marekani kwa 'kupotosha ukweli' kuhusu mpango wa nyuklia
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ameishutumu marekani kwa "kupotosha ukweli" wakati wa mkutano mapema wiki hii na rais Donald Trump, kwa mujibu wa shirika la habari la Korea -Korea Central News Agency.
Amesema pia kwamba amani katika rasi ya Korea itategemea utawala wa Washington, Bwana Kim aliitoa kauli yake katika mkutano wa Alhamisi na rais wa Urusi Vladimir Putin katika mji wa Vladivostok.
Rais Putin alikubali mwaliko wa kuizuru Korea Kaskazini, KCNA limeripoti, Ziara hiyo itafanyika "katika wakati unaofaa ," shirika hilo la habari limeongeza kusema.
Kim Jong-un anaripotiwa kumwambia Vladimir Putin kwamba "hali katika rasi ya Korea peninsula na kanda hiyo kwa ujumla tete na imefikia wakati mgumu".
Alionya kuwa hali "inaweza kurejea mahali ilipokuwa kwasababu Marekani imeamua kuchukua mkondo wa ''kupotosha ukweli " wakati wa mazungumzo ya hivi karibuni.
Hii inakuja wiki moja baada ya Pyongyang kuishutumu Marekani kuvuruga mazungumzo ya amani,
Mazungumzo baina ya nchi mbili yalivujika wakati wa kikao cha Vietnam mwezi Februari, bila kufikiwa kwa mkataba juu ya silaha za nuklia za Korea kaskazini .
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
