Friday, April 26, 2019
Rais Kim aishutumu Marekani kwa 'kupotosha ukweli' kuhusu mpango wa nyuklia
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un ameishutumu marekani kwa "kupotosha ukweli" wakati wa mkutano mapema wiki hii na rais Donald Trump, kwa mujibu wa shirika la habari la Korea -Korea Central News Agency.
Amesema pia kwamba amani katika rasi ya Korea itategemea utawala wa Washington, Bwana Kim aliitoa kauli yake katika mkutano wa Alhamisi na rais wa Urusi Vladimir Putin katika mji wa Vladivostok.
Rais Putin alikubali mwaliko wa kuizuru Korea Kaskazini, KCNA limeripoti, Ziara hiyo itafanyika "katika wakati unaofaa ," shirika hilo la habari limeongeza kusema.
Kim Jong-un anaripotiwa kumwambia Vladimir Putin kwamba "hali katika rasi ya Korea peninsula na kanda hiyo kwa ujumla tete na imefikia wakati mgumu".
Alionya kuwa hali "inaweza kurejea mahali ilipokuwa kwasababu Marekani imeamua kuchukua mkondo wa ''kupotosha ukweli " wakati wa mazungumzo ya hivi karibuni.
Hii inakuja wiki moja baada ya Pyongyang kuishutumu Marekani kuvuruga mazungumzo ya amani,
Mazungumzo baina ya nchi mbili yalivujika wakati wa kikao cha Vietnam mwezi Februari, bila kufikiwa kwa mkataba juu ya silaha za nuklia za Korea kaskazini .
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
