Jumla ya wanawake 76 wamepoteza maisha mkoani Mtwara mwaka 2018, kutokana na kukabiliwa na matatizo ya uzazi ikiwamo kumwaga damu nyingi wakati na baada ya kujifungua.
Hilo limebainishwa leo Machi 19, 2019 kwenye mkutano wa kujifunza na kufahamiana kwa wanawake wataaluma kutoka taasisi za umma na binafsi.
Mratibu wa afya ya uzazi kwa Baba, Mama na Mtoto mkoani Mtwara, Rozaria Arope, amesema vifo hivyo kwa wanawake ni kutokana na wengi wao kutofanya upimaji wa afya za uzazi.
Baadhi ya wanawake, wameeleza changamoto mbalimbali za kiafya wanazokabiliana nazo, ikiwemo suala la kutakiwa kupimwa virusi vya UKIMWI wanapohitaji vipimo vya saratani ya mlango wa kizazi, jambo ambalo linapelekea wengi wao kutofanya vipimo hivyo.
Wanawake hao wamekutanishwa na Shirika la Mlango wa Matumaini kwa Wanawake na Vijana, kwa lengo kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa wanawake.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...