Jumla ya wanawake 76 wamepoteza maisha mkoani Mtwara mwaka 2018, kutokana na kukabiliwa na matatizo ya uzazi ikiwamo kumwaga damu nyingi wakati na baada ya kujifungua.
Hilo limebainishwa leo Machi 19, 2019 kwenye mkutano wa kujifunza na kufahamiana kwa wanawake wataaluma kutoka taasisi za umma na binafsi.
Mratibu wa afya ya uzazi kwa Baba, Mama na Mtoto mkoani Mtwara, Rozaria Arope, amesema vifo hivyo kwa wanawake ni kutokana na wengi wao kutofanya upimaji wa afya za uzazi.
Baadhi ya wanawake, wameeleza changamoto mbalimbali za kiafya wanazokabiliana nazo, ikiwemo suala la kutakiwa kupimwa virusi vya UKIMWI wanapohitaji vipimo vya saratani ya mlango wa kizazi, jambo ambalo linapelekea wengi wao kutofanya vipimo hivyo.
Wanawake hao wamekutanishwa na Shirika la Mlango wa Matumaini kwa Wanawake na Vijana, kwa lengo kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa wanawake.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
