Monday, March 18, 2019

Simba kutinga hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, hii inakuwa mara ya ngapi kwa timu kufika hatua hii ? (+ Video)

Klabu ya soka ya Simba kutoka Tanzania imetinga hatua ya robo fainali ya Michuano ya Kabu Bingwa Afrika baada ya kusubiri kwa miaka 25. Mara ya mwisho kwa Simba kufikia hatua kama hiyo ilikuwa mwaka 1994, ambapo walitolewa na klabu ya Nkana ya Zambia kwa jumla ya magoli 4-3 baada ya kucheza michezo miwili. Hiyo …

The post Simba kutinga hatua ya robo fainali klabu bingwa Afrika, hii inakuwa mara ya ngapi kwa timu kufika hatua hii ? (+ Video) appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...