Mwigizaji wa filamu Bongo, Muna Love amewashangaa baadhi ya watu wanaojadili picha zake kwenye mitandao kutokana na kuonekana kung'aa sana.
Muna aliyepata umaarufu kwenye mtandao wa kijamii wa Instgram amekuwa akiongenana aking'aa zaidi lakini ameeleza hilo linatokana na kuwa karibu na Mungu.
"Watu walishazoea siku zote mtu akiwa ameokoka anakuwa hapendezi anakuwa tofauti wakati kwa Mungu kuna kila ambacho unakihitaji, kuna kila kitu ambacho unamwomba wewe atakupatia kwa sababu umemwambini na kumpa maisha yako, nimemwamini na kumpa maisha yangu Mungu anaangalia moyo wangu haangalii kuwa nimevaa hivi," amesema Muna Love.
Ameendelea kwa kusema, 'Yeye ndiye anayenibariki na kuniongoza kwahiyo hata kupendeza kwangu kunatokana na kung'arishwa na Mungu, angekuwa haning'arisha nisingependeza, kwani wangapi wanapendeza na kuvaa nina kitu gani cha ajabu mpaka kikamshtua mtu, hiyo picha ni ya kawaida sana lakini kwa sababu Mungu ndio maana wanaiona ya tofauti'.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...