Jana Machi 23, 2019 Burundi imefanikiwa kufuzu michuano ya AFCON 2019 kwa mara ya kwanza katika historia kwa kupata sare ya 1-1 dhidi ya Gabon.
Kwa matokeo hayo Gabon inayoongozwa na Aubameyang imetupwa nje ya michuano hiyo, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi Juni mwaka huu nchini Misri.
Mpaka sasa ni mataifa 19 yamefuzu michuano hiyo, huku mataifa mengine matano yakisubiriwa kufuzu leo ili kukamilisha timu 24 zitakazoenda Misri kwenye michuano hiyo.
Leo Tanzania inatupa karata yake ya mwisho kwenye nafasi ya kuwania kufuzu dhidi ya Uganda, ambapo itahitaji matokeo ya ushindi kwanza na baadae waombee Cape Verde waifunge Lesotho au mchezo huo kati ya Lesotho na Cape Verde utoke droo.
Kwa hiyo Taifa Stars hata ikishinda dhidi ya Uganda, halafu Lesotho nayo ikashinda basi tutakuwa tumetolewa kwani Lesotho atakuwa na pointi 8 na Tanzania pointi 8 ila rekodi ya Head to Head, Taifa Stars imepigwa zaidi na Lesotho.
Taifa Stars iliruhusu sae hapa Tanzania na kukubali kichapo nchini Lesotho, hivyo leo Watanzania wanatakiwa waiombee Cape Verde ishinde dhidi ya Lesotho na Taifa Stars ishinde dhidi ya Uganda.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...