Monday, February 25, 2019

Safari ya Pascal wa BSS ya kwenda kutibiwa India yakwama kisa passport (Video)

Safari ya Pascal wa BSS kwenda India kwa matibabu kwa msaada wa RC Makonda yakwama kisa mgonjwa kukosa passport ya kusafiria, arudi tena kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kuomba amfanyie mchakato wa hati ya kusafiria. Kwa upande wa familia wamesema kwa sasa ndio wanaanza mchakato wa passport ili kuhakikisha ndugu yao anapata msaada …

The post Safari ya Pascal wa BSS ya kwenda kutibiwa India yakwama kisa passport (Video) appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...