Tuesday, February 26, 2019

Matokeo ya Ligi Kuu Tanzania Bara leo

Ligi Kuu ya Tanzania Bara imeendelea leo kwenye viwanja viwili Somara Mkoani Iringa na Manungu Mkoani Morogoro na matokeo ni kama yafuatayo;

FT: Lipuli FC 1-3 Simba SC

FT: Mtibwa Sugar 3-1 Coastal Union


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...