Monday, February 18, 2019

Pascal Mshindi wa BSS 2009 hali yake ni tete: Naomba msaada wako, hakuna anayeijua kesho yake (Video)

Mshindi wa BSS mwaka 2009, Pascal Cassian amefunguka kuzungumzia maendeleoa ya afya yake ikiwa ni miezi 6 toka apate ajali mbaya ambayo ilimsababishia kupasuka kibofu cha mkojo.

The post Pascal Mshindi wa BSS 2009 hali yake ni tete: Naomba msaada wako, hakuna anayeijua kesho yake (Video) appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...