Wednesday, February 27, 2019

Nafasi ya Manchester United ni ipi kwenye ligi baada ya kuwakosa wachezaji zaidi ya 7 katika kikosi cha kwanza wakiwa ni majeruhi

Wachambuzi wana tathmini kwamba kujeruhiwa kwa wachezaji wa Manchester uniyted kunaweza kutoa nafasi na faida kwa Crystal Palace hatimaye leo kufanikiwa kushinda mechi ya ligi kuu England dhidi ya mashetani wekundu. Ushindi wao mkubwa dhidi ya Leicester mara ya mwisho haikufua matumaini ya timu hiyo ya Wanamwewe lakini pia kuondosha hofu ya kuanguaka chini ya …

The post Nafasi ya Manchester United ni ipi kwenye ligi baada ya kuwakosa wachezaji zaidi ya 7 katika kikosi cha kwanza wakiwa ni majeruhi appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...