Thursday, February 14, 2019
Mwaka Sasa Umetimia Toka Kuachana kwa Diamond na Zari
Ikiwa leo ni siku ya Wapendano (Valentine's Day), tarehe kama ya leo mwaka jana ndipo
Zari The Bosslady alitangaza kuachana na Diamond.
Zari alitangaza kuvunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platnumz akiwa nchini Kenya kwa
ajili ya event yake 'The Colour Purple' itakayofanyika weekend hii Uhuru Gardens.
Zari alisema ameachana na Diamond kutokana alikuwa akimvunjia utu wake kwenye mitandao
ya kijamii kwa kujihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi na wanawake mbalimbali.
Baada ya kuachana kwao, Zari hajaonekana tena kwenye mahusiano na mtu mwingine, wakati
Diamond akiwa na mrembo kutoka nchini Kenya, Tanasha ambaye pia mtangazaji wa redio.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...