Wednesday, February 27, 2019

Muhammadu Buhari amefanikiwa kumbwaga mpinzani wake kwa asilimia 56, Sasa kuiongoza Nigeria kwa mara nyingine

Tume ya taifa ya uchaguzi ya Nigeria imemtangaza rais Muhammadu Buhari kuwa mshindi wa urais kwa muhula wa pili katika taifa hilo lenye nguvu kiuchumi barani afrika na mzalishaji mkubwa wa mafuta. Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi amemtangaza Buhari mapema leo kuwa mshindi wa uchaguzi uliocheleweshwa na kugubikwa na kasoro kadhaa za maandalizi pamoja na …

The post Muhammadu Buhari amefanikiwa kumbwaga mpinzani wake kwa asilimia 56, Sasa kuiongoza Nigeria kwa mara nyingine appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...