Sunday, February 24, 2019

Kura za uchaguzi mkuu Nigeria bado zinahesabiwa, Harmonize aandaa show ya kuwapoza machungu mashabiki wake nchini humo

Jana Februari 23, 2019 mamilioni ya watu nchini Nigeria walishiriki katika zoezi la kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu baada ya shughuli hiyo kuahirishwa ghafla wiki iliyopita. Mpaka sasa bado shughuli shughuli ya kuhesabu kura inaendelea na matokeo ya awali yanatarajiwa kuanza kutangazwa kesho Jumatatu. Kwenye uchaguzi huo, Wagombea wawili wakuu ni Rais Muhammadu Buhari, (76) …

The post Kura za uchaguzi mkuu Nigeria bado zinahesabiwa, Harmonize aandaa show ya kuwapoza machungu mashabiki wake nchini humo appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...