Friday, February 22, 2019

Chid Benz aionyesha nyumba yake, afungua mradi huu, amuomba Rais Magufuli mambo haya (+ Video)

Msanii na mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Chid Benz ameamua kuionyesha nyumba yake mpya na kuonyesha kwa mara ya kwanza mradi wake ambao ni wa kuchoma mkaa, lakini pia amuomba Mh. Rais Magufuli mambo kadhaa:- Sehemu ya kwanza akionyesha nyumba yake h Sehemu ya Pili akionyesha miradi yake By Ally Juma.

The post Chid Benz aionyesha nyumba yake, afungua mradi huu, amuomba Rais Magufuli mambo haya (+ Video) appeared first on Bongo5.com.


Source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...