Sunday, December 2, 2018
Simba wakwea pipa Leo kuwafata Mbabane FC
Kikosi cha Simba ambacho kitacheza mchezo wa marudiano na timu ya Mbabane Swalows FC ya Eswatini kimepaa leo kuwafuata wapinzani wake kikiwa na tahadhari ya kulinda heshima ambayo walijiwekea katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Simba walifanikiwa kupata ushindi wa mabao 4-1 kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hivyo wanatakiwa wasifungwe zaidi ya mabao 2 watakapocheza Desemba 4 kwenye mchezo wa marudio ili kusonga mbele.
Ofisa habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa wanatambua wanakwenda kucheza na timu bora na kubwa, kazi yao ni moja kuweza kupata matokeo mazuri.
"Tunatambua tunakwenda kucheza na timu kubwa na bora, ila tuna kazi ya kulinda heshima yetu, tunajua sisi ni mabingwa wa Taifa na tunaliwakilisha, matokeo mabaya ni kujifedhehesha na kufuzu kwa Simba ni kujiweka sokoni kwa wachezaji kwenye rada za soka," alisema.
Safari yao ya leo watapitia Johannseburg, Afrika Kusini kisha watabadili ndege na kuelekea Manzini, Eswatini kwa ajili ya mchezo wao marudiano wa Ligi ya Mbaingwa Afrika dhidi ya Mbabane Swallows.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
