Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Shiza Kichuya, amekanusha kushuka kwa kiwango chake tangu kuanza kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara.
Kichuya ameeleza hilo kupitia swali aliloulizwa mdau wake kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuwataka mashabiki zake kumuulizwa maswali yoyote leo.
Mdau huyo alitaka kujua kwanini kiwango chake kimeshuka tofauti na msimu uliopita jambo ambalo limepelekea kutokucheka na nyavu hata mara moja msimu huu.
Lakini Kichuya alimjibu na kumueleza kuwa bado hajapata nafasi vema ya kutumia ila siku akipta anaamini atacheza vema na ikiwezekana atafunga pia.
Aidha, Kichuya alijibu moja ya swali lililomtaka kueleza amejisikiaje kutokuitwa Taifa Stars kwa kusema hayo ni maamuzi ya Kocha Mkuu huku akieleza anaweza akaitwa kwa wakati mwingine kwani bado anapambana.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
