Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Simba, Shiza Kichuya, amekanusha kushuka kwa kiwango chake tangu kuanza kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara.
Kichuya ameeleza hilo kupitia swali aliloulizwa mdau wake kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuwataka mashabiki zake kumuulizwa maswali yoyote leo.
Mdau huyo alitaka kujua kwanini kiwango chake kimeshuka tofauti na msimu uliopita jambo ambalo limepelekea kutokucheka na nyavu hata mara moja msimu huu.
Lakini Kichuya alimjibu na kumueleza kuwa bado hajapata nafasi vema ya kutumia ila siku akipta anaamini atacheza vema na ikiwezekana atafunga pia.
Aidha, Kichuya alijibu moja ya swali lililomtaka kueleza amejisikiaje kutokuitwa Taifa Stars kwa kusema hayo ni maamuzi ya Kocha Mkuu huku akieleza anaweza akaitwa kwa wakati mwingine kwani bado anapambana.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...