Mwanadada kutoka mwanza anaejulikana kama Khadija Ziota aanaesadikiwa kuwa ni mwanamke anaemlea Harmorapa kwa sasa amefunguka na kusema kuwa yeye na Shiloleh ni ndugu lakini wamekuwa hawaongei wala kupatana kwa sababu ya mwanaume ndio aliewagimbanisha.
Mimi na shiloleh atuongei kabisa, hatupatani hata kidogo kwa sababu ya mwanaume.mimi na shiloleh ni mtoto wa baba mkubwa na mdogo.lakini kwa sababu ya mwanaume katusababisha kwa sasa hatuongei kabisaa,na hata tukikutana hatuna hata salamu kabisa na hata kupigiana simu hakuna na imeshakuwa muda mrefu sana sasa hivi.
Alipoulizwa kuhusu mwanaume huyo , mwanadada khadija alimtaja mwanaume huyo kuwa na Nuh mziwanda, ambae hapo awali aliwahi kuwa mpenzi wa shilolhe kabla hajaachana nae na kuolewa na uchebe.
Source
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Siku moja baada ya Israel kusema kuwa inazidisha uvamizi wake wa ardhini nchini Lebanon, Hezbollah inadai iliwafukuza wanajeshi wa Israel ...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...