Wednesday, August 1, 2018
Kutokujiamini ni Janga Kubwa la Wanaume wa Kibongo Mbele ya Wanawake
Bila hata kwenda mbali angalia Hizi Statement kadhaa za Wanaume Wasiojiamini:
1. Usimtambulishe Mkeo Utagongewa
2. Usioe mwanamke mzuri
3. Mwanamke mzuri hatulii kwenye ndoa
4. Usioe mwanamke aliekuzidi kipato
5. Usioe mchaga/muhaya
6. Usioe mwanamke aliekuzidi elimu
7. Kama wewe mfupi usitafute mwanamke mrefu
HIVI KWA NINI HAMJIAMINI?
Ukiangalia kwa wenzetu hii kitu ni tofauti sana ila hapa yaani ukidate mtu ambae hajiamini ni janga statement kama hizi hazimkauki mdomoni:
1. Sikuamini kabisa
2. I cant handle this relationship(Dude you cant handle her personality she is too smart)
3. You gat attitude(Noop ana vision ya hali ya juu wewe sio saizi yake.
NA WANAKAGUA SIMU HAO KAMA WAPELELEZI WA MAKOSA YA JINAI
Kujiamini ni credit kubwa sana kwa mwanaume wa kisasa
Hata ukiwa na ela kama hujiamini utaumwa ulcers.
~By Masai dada
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...