Mwanadada Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii mareheme Mzee Majuto alikuwa akiwa bado yye hajatimiza ndoto nae alikuwa akitaka kuikamilisha kabla.
Wema anasema kuwa mwaka mmoja kabla aliwahi kupanga na kuongea na marehemu mzee majuto na wakakubaliana kuwa watafanya kazi, lakini ikatokea ghafla alipoanza kuumwa na kusumbuliwa na maradhi yaliyomtoa Duniani.
Nilipopata taarifa za msiba tu nilijua kuwa wazi ndot yangu imezimika, na kile nilichokuwa nakitaka hakiwezi kufanikiwa kabisa.nilitaka kujipima nione kuwa nikicheza vichekesho na yeye itakuwaje.lakini ndio hivyo tena imeshindikana.
Mzee majuto amefariki wiki iliyopita na kifo chake kimegusa watu wengi nje na ndani ya Tanzania kutokana na ukubwa wa kazi zake alizokuwa akifanya katka tasnia, aligusa maisha ya watu wengi sana hasa kusaidia kuchipua wasanii wachanga.
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
