Mwanadada Wema Sepetu amefunguka na kusema kuwa msanii mareheme Mzee Majuto alikuwa akiwa bado yye hajatimiza ndoto nae alikuwa akitaka kuikamilisha kabla.
Wema anasema kuwa mwaka mmoja kabla aliwahi kupanga na kuongea na marehemu mzee majuto na wakakubaliana kuwa watafanya kazi, lakini ikatokea ghafla alipoanza kuumwa na kusumbuliwa na maradhi yaliyomtoa Duniani.
Nilipopata taarifa za msiba tu nilijua kuwa wazi ndot yangu imezimika, na kile nilichokuwa nakitaka hakiwezi kufanikiwa kabisa.nilitaka kujipima nione kuwa nikicheza vichekesho na yeye itakuwaje.lakini ndio hivyo tena imeshindikana.
Mzee majuto amefariki wiki iliyopita na kifo chake kimegusa watu wengi nje na ndani ya Tanzania kutokana na ukubwa wa kazi zake alizokuwa akifanya katka tasnia, aligusa maisha ya watu wengi sana hasa kusaidia kuchipua wasanii wachanga.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
