Chama cha wananchi CUF kupitia kwa Mkurugenzi wake wa habari na mawasiliano, Abdul Kambaya, wamefunguka kuhusu Julius Mtatiro Jumamosi hii kutangaza kujiuzulu na kuhamia CCM huku akikikosoa vikali chama chake cha zamani. Kambaya amedai kuwa Mtatiro ni muongo kutokana na moja ya kauli zake za kuwa amewahi kuandika ilani cha chama hiko katika uchaguzi mkubwa na pia wameongeza kuwa yeye ndio alikuwa kirusi ndani ya chama hiko kwa kusababisha mgogoro mkubwa unaoendelea..na Kwamba kwenda CCM anataka Umakonda na Ujoketi
Sunday, August 12, 2018
CUF wamtupia kombora kali Mtatiro, "Anataka U-makonda na U-jokate"
Chama cha wananchi CUF kupitia kwa Mkurugenzi wake wa habari na mawasiliano, Abdul Kambaya, wamefunguka kuhusu Julius Mtatiro Jumamosi hii kutangaza kujiuzulu na kuhamia CCM huku akikikosoa vikali chama chake cha zamani. Kambaya amedai kuwa Mtatiro ni muongo kutokana na moja ya kauli zake za kuwa amewahi kuandika ilani cha chama hiko katika uchaguzi mkubwa na pia wameongeza kuwa yeye ndio alikuwa kirusi ndani ya chama hiko kwa kusababisha mgogoro mkubwa unaoendelea..na Kwamba kwenda CCM anataka Umakonda na Ujoketi
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...