Sunday, August 12, 2018
Bocco kuikosa Mtibwa Ngao ya Jamii Jumamosi
Wakati kikosi cha Simba kikiwa katika maandalizi ya kujiwinda na mchezo wa Ngao ya Hisani dhidi ya Mtibwa FC, kuna uwezekano mkubwa ikamkosa Nahodha wake, John Bocco.
Simba itashuka dimbani kukipiga na wakata miwa hao wa Morogoro katika mchezo wa Ngao hiyo Agosti 18 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
Kuelekea mechi hiyo imeelezwa kuwa Bocco hajapewa nafasi kubwa ya kucheza kutokana na kutokuwa fiti kiafya kwa ajili ya kucheza.
Ikumbukwe Bocco aliukosa mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko Agosti 8 katika tamasha la Simba Day ambalo lilimalizika kwa sare ya bao 1-1 pamoja na jana dhidi ya Namungo FC huko Ruangwa, Lindi.
Aidha, taarifa za ndani zinasema Bocco anaweza akawakosa pia Tanzania Prisons, mechi ambayo itakuwa ni ya ufunguzi wa pazia la msimu mpya wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...