Jamani imenibidi tu nisema huyu jamaa kwenye picha ndio roho yangu kwa sasa nampenda kufa hata akiniambia tuoane leo mimi nipo tayari ...
Jamani tulikutana nae kama mwaka umepita akani approach mimi nikawa namringia kwa vile sikumpenda hata kidogo pia marafiki zangu walikuwa wanasema si size yangu eti hatuendani ni mshamba basi na mimi nikamchukulia for granted nikawa na mzungusha, basi siku ya mwaka mpya akanipa offer twende tukaspend bagamoyo for two days sasa huku nilipewa penzi la nguvu ambalo sijawahi pewa na mwanaume hapa dar yaani mpaka niliwasahau masharobaro wangu wote waliokuwa wananigusa gusa na kunichafua tu
Jamaaa anajua kunigusa napopataka kwa kifupi anajua si unaona kwenye picha hapo hiyo ni trailler tu....Nampenda sana wale marafiki zangu waliokuwa wanamponda sasa nawaambia hivi hapo ndio nimefika nimeoza hawajui ninachopewa ambacho ni adimu kwa wanaume wengi hasa hawa wanaume mabishoo wa Dar....Nimeziba masikio hata akisema leo tuoana hata bila sherehe namkubali...I love u Charles
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...