Source
Saturday, February 8, 2025
CCM RUVUMA WAFANYA MKUTANO MKUBWA KUUNGA MKONO DKT. SAMIA, DKT. MWINYI KUPEWA MITANO TENA!!
Source
Shule ya Sekondari Manyara Boys inajengwa kwa kasi.
Na John Walter -Babati
Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Babati imetembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Shule mpya ya Sekondari ya Manyara Boys, inayojengwa katika Kijiji cha Ngoley, Kata ya Mwada.
Shule hiyo inajengwa na Serikali kupitia mradi wa EP4R (Education Program for Results) na inatarajiwa kugharimu kiasi cha Shilingi bilioni 4.1 hadi kukamilika kwake.
Wakati wa ziara hiyo, timu hiyo ilitoa msisitizo kwa mafundi kuhakikisha wanakamilisha ujenzi kwa wakati na kuzingatia viwango vya ubora vinavyotakiwa.
Aidha, walihimiza kuongeza nguvu ili kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa ufanisi na kwa mujibu wa mpango wa serikali wa kuboresha elimu nchini.
Shule ya Sekondari ya Manyara Boys inatarajiwa kuwa miongoni mwa shule muhimu za kanda ya kaskazini, ambapo baada ya kukamilika, itapokea wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi kidato cha sita kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Ujenzi wa shule hiyo ni sehemu ya juhudi za serikali za kuongeza fursa za elimu na kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa vijana.
Wakazi wa eneo hilo na wadau wa elimu wanatarajia shule hiyo itakuwa na mchango mkubwa katika kuinua kiwango cha elimu katika mkoa wa Manyara na kanda ya kaskazini kwa ujumla.
Friday, February 7, 2025
USAWA WA KIJINSIA TANZANIA: KUTOKA MKUTANO WA BEIJING HADI MATOKEO YA LEO
10 bora ya Vyuo Vikuu Afrika Mashariki kwa mwaka 2025
WATAALAMU WA TAKWIMU WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UFASAHA KATIKA KUPAMBANA NA UMASKINI
Akesha makaburini akimngojea mume!
Anasema hali hiyo ilimfanya kukata tamaa licha ya kuwa tayari kufanya lolote ili tu kuolewa. Jambo la ajabu alilowahi kufanya ni kulala usiku mzima kwenye makaburi akiamini lingeondoa kizuizi kinachomzuia kuolewa.
"Sikuwa na chaguo jingine ila kujaribu zaidi ya kufanya hivyo kwa ajili ya maisha bora. Siku hiyo, nilikutana na shangazi yangu mkubwa ambaye aliniambia kwamba nikilala kwenye makaburi, mambo yangeniendea vizuri na kupata mume ndani ya muda mfupi," alisema.
Hata hivyo, anasema hakuna kilichotokea hata baada ya kufuata matakwa hayo ya ajabu. Alibaki bila matumaini kwani juhudi zake zote hazikufanikiwa. Lakini hakupoteza tumaini kwamba siku moja angeolewa na kuwa na familia yake.
Kupitia kwa rafiki yake wa muda mrefu, aliambiwa amjaribu mtaalamu wa mitishamba kwa jina la Dr Bokko na kupewa namba zake ambazo ni +255618536050, aliwasiliana na mtu huyo ambaye kwa muda mrefu alikuwa amesaidia maelfu ya wanawake wenye changamoto kama yake.
Punde tu alipofika kwa Dr Bokko ili kupata huduma yake, uchawi wa mafanikio ya ndoa ulifanywa kwa maana ya kuvunja laana inayomzuia kuolewa licha ya umri wake kwenda sana.
Alimhakikishia usiri katika kazi yao na kwamba rekodi zake, faili, wala utambulisho wake hautatolewa kwa mtu mwingine au kuwekwa hadharani isipokuwa atakapoamua kutoa ushahidi yeye mwenyewe.
Wiki chache baadaye, alifurahi sana baada ya kumpata mwanaume wa maisha yake. Alisema mwanzoni alikuwa haamini, lakini baada ya kumchunguza mwanaume huyo, aligundua kuwa alikuwa tayari kweli kumuoa na sasa wanaishi kama mume na mke na wana familia.
Mwisho.
Wananchi wa Ngapapa Gizani kwa miezi miwili
Simba Amebanwa Mbavu na Fountain Gate FC
Mnyama amebanwa katika dimba la Tanzanite Kwaraa, Babati kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Fountain Gate Fc waliomaliza wakiwa pungufu ya mchezaji mmoja baada ya golikipa John Noble kuoneshwa kadi nyekundu kwa kupoteza muda.
Monday, February 3, 2025
Mwenyekiti CCM Manyara atoa onyo kwa wanasiasa.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...