Wednesday, July 16, 2025

Gwajima: CCM Sihami, Tunabanana Mpaka Kieleweke



"Mimi bado ni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi na nitaendelea kuwepo. Mimi sihami, CCM nipo sana, tunabanana humu humu ndani mpaka paeleweke pakae vizuri. CCM ni chama cha kidemokrasia kama ilivyo madhumuni ya katiba yake." - Askofu Josephat Gwajima


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...