Thursday, December 26, 2024
Airtel yamwaga zawadi kwa wateja wake kupitia promosheni ya Santa Mizawadi
KAMPUNI ya Airtel imetangaza Washindi wa droo ya Kwanza ya Santa Mizawadi inayotolewa na Bwana Santa wa Airtel.
Akizugumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam leo Desemba 24, 2024 Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano, Jackson Mmbando amesema promesheni hiyo bado inaendelea na droo ya kwanza imetangazwa leo ambapo washindi ni kutoka mikoa mbalimbali nchini.
Amesema Airtel Santa Mizawadi ni promosheni kabambe ambayo itawapa washindi fursa ya kuondoka na zawadi kemkem ikiwemo pocket WiFi, simu janja, pikipiki, runinga na pesa Taslim hadi shilingi milioni moja.
"Jinsi ya kushiriki na kujishindia Mizawadi ya Airtel Santa Mizawadi, Wakala wa Airtel atatakiwa kufanya miamala ya kuweka na kutoa fedha, ambapo pia ili Mteja aweze kuingia kwenye droo anatakiwa tu kufanya miamala kama vile kununua bando, Kutuma pesa, kutoa pesa, kulipa bili, kufanya miamala ya kibenki, kutuma au kupokea pesa nje ya nchi, kununua muda wa maongezi.
"Ndugu mteja , Wakala usipitwe na zawadi hizi kutoka kwa Mr Santa ambspi leo Jumanne Desemba 24 tumeshawatangaza.." Amesema
Mmbando amesema droo ya kuwapata washindi wengine itakuwa ikifanyika jumanne mpaka mwezi wakwanza ambapo washindi wakipigiwa simu kupitia namba 100 pekee na kuambiwa ni kitu gani ameshinda katika droo kama ilivyofanyika leo.
"Mteja wetu usikose kuendelea kutumia huduma zetu za Airtel ikiwemo kuweka Pesa na kutoa, kulipa bili mbalimbali ili kuweza kuingia katika droo ya kujishindia zawadi mbalimbali." Amesema
Washindi waliotangazwa ni kutoka Mkoa wa Dar es Salaam, Shinyanga washindi wawili, Nzega pamoja Ifakara Mkoani Morogoro.
Source
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
