Tuesday, October 8, 2024

Mambo yanoga ufunguzi msimu wa korosho

 MTWARA; WAKATI msimu wa uuzaji wa korosho ukikaribia kufunguliwa, Mamlaka ya Bandari ya Mtwara imesema meli tatu na kontena zaidi ya 1000 zimeshawasili bandarini hapo kwa ajili ya kuhudumia mizigo ya korosho zinatakazosafirishwa kwenda nje ya nchi.

“Hadi sasa hivi tumeshapokea meli tatu za korosho na kontena zaidi ya 1000,” Meneja wa Bandari wa Bandari Fernard Nyathi amesema na kuongeza kuwa makasha ya kubeba korosho yamewasili mapema tofauti na msimu wa mwaka jana.

Source

Rais Samia afurahia usimamizi mzuri wa miradi

 WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amesema usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo umeendelea kumpa faraja Rais Samia Suluhu Hassan.

source

Rigathi Gachagua: Mbivu na mbichi kujulikana leo bungeni

'Sina nia ya kujiuzulu kutoka wadhifa wangu na nitapambana hadi mwisho'. Ndio kauli yake naibu wa rais nchini Kenya Rigathi Gachagua anapotarajiwa kujitetea bungeni leo, source

Israel yaadhimisha mwaka mmoja tangu shambulio la Hamas huku mapigano yakiendelea

Mikesha imefanyika kote Israel ikiwa ni pamoja na kwenye tamasha ambapo mamia waliuawa Oktoba mwaka jana. source
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...