Friday, August 30, 2024

Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania

Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025

Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania

Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier League – Msimamo NBC Tanzania Premier League NBC 2024/2025 Table Standings,Msimamo ligi kuu NBC Premier League NBC 2024/2025 Tanzania, Ratiba NBC Premier League,

Msimu wa 2023/2024 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania umekamilika kwa kishindo, Yanga SC wakiibuka mabingwa kwa mara ya tatu mfululizo. Wanajangwani hao walimaliza kileleni mwa msimamo wakiwa na pointi 80 baada ya kucheza mechi 30, wakishinda mechi 26, wakitoa sare mbili, na kupoteza mbili pekee. Azam FC na Simba SC walimaliza nafasi ya pili na ya tatu mtawalia, zote zikiwa na pointi 69, huku Azam FC ikiwazidi Simba kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Msimu wa 2024/2025 unatarajiwa kuwa na mvuto mkubwa zaidi, huku timu zikifanya usajili wa nguvu na kujiandaa kwa ajili ya kuwania taji la ubingwa. Je, Yanga SC wataweza kutetea ubingwa wao?

Mashabiki wa soka Tanzania wana kila sababu ya kutazamia msimu uliojaa msisimko, ushindani mkali, na mshangao mwingi. Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 inaahidi kuwa msimu ambao hautakumbukwa tu kwa matokeo yake, bali pia kwa ubora wa soka litakalochezwa.

Udakuspecially.com Inakuletea live Msimamo wa Ligi kila siku Hapa chini:

Standings provided by Sofascore
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...