Wednesday, August 4, 2021

EWURA Yasitisha Upandaji Bei za Gesi za kupikia


 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesitisha upandaji wa bei za gesi za kupikia zilizopanda maradufu katika baadhi ya maeneo nchini hadi hapo itakapotangazwa tena kutokana na upandaji wa bei hizo kutofuata taratibu.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...