Thursday, June 24, 2021

Tanzia: Mwanzilishi wa Antivirus ya Mcafee Afariki Dunia



John McAfee amefariki katika chumba kimoja cha Gereza katika Jiji la #Barcelona, Uhispania

Umauti umemkuta saa chache baada ya Mahakama Nchini humo kuamua kumsafirisha hadi Marekani ili akashtakiwe kwa makosa ya kukwepa kodi

Taarifa za awali zinaeleza uwezekano wa John #McAfee kujiua
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...