Sunday, May 2, 2021
Watahiniwa 90, 025 Kidato cha Sita Kuanza Mitihani yao Kesho
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) Dkt. Charles Msonde, amesema kuwa mitihani ya kidato cha sita Tanzania Bara na Visiwani itaanza kesho Mei 3 hadi Mei 25, 2021.
Taarifa hiyo ameitoa hii leo Mei 2, 2021, jijini Dar es Salaam na kuongeza kuwa licha ya mitihani hiyo pia itafanyika mitihani ya ualimu, ambapo vituo katika shule za sekondari ni 804, vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 248 na kwa upande wa vyuo vya ualimu viko 75 kwa Tanzania Bara na Zanzibar.
"Jumla ya watahiniwa 90, 025 ndiyo waliosajiliwa kufanya mtihani huo wa kidato cha sita na kati yao watahiniwa wa shule wako 81,343 na wakujitegemea wako 8,682, na kati ya watahiniwa hao wa shule wanaume ni 46,233 na wanawake 35,110", ameeleza Dkt. Msonde
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
