Wapiganaji wa upinzani wakiwa na silaha kali walijiweka katika hali ya utayari katika sehemu mbalimbali za mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, Jumatatu. Hali hii imetokea ikiwa ni siku moja baada ya kuzuka kwa mapigano dhidi ya vikosi vya serekali kupinga hatua ya kuongezewa muda kwa rais, katika nchi ambayo imekumbwa na ghasia kwa miaka mingi. Wapiganaji hao waliweka vizuizi katika barabara huku watu wenye silaha pamoja na magari yakiwa na bunduki za risasi za rashasha waliwekwa katika ngome za upinzani baada ya mapigano yaliyo sababisha vifo vya watu watatu. Shuhuda mmoja aliyetambulika kwa jina la Abdullahi Mire, na kuzungumza na shirika la habari la AFP, amesema kwamba vikosi vyote vya wapiganaji wa serekali na upinzani wote wamejiweka tayari katika barabara muhimu za mji.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
