Wapiganaji wa upinzani wakiwa na silaha kali walijiweka katika hali ya utayari katika sehemu mbalimbali za mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, Jumatatu. Hali hii imetokea ikiwa ni siku moja baada ya kuzuka kwa mapigano dhidi ya vikosi vya serekali kupinga hatua ya kuongezewa muda kwa rais, katika nchi ambayo imekumbwa na ghasia kwa miaka mingi. Wapiganaji hao waliweka vizuizi katika barabara huku watu wenye silaha pamoja na magari yakiwa na bunduki za risasi za rashasha waliwekwa katika ngome za upinzani baada ya mapigano yaliyo sababisha vifo vya watu watatu. Shuhuda mmoja aliyetambulika kwa jina la Abdullahi Mire, na kuzungumza na shirika la habari la AFP, amesema kwamba vikosi vyote vya wapiganaji wa serekali na upinzani wote wamejiweka tayari katika barabara muhimu za mji.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
