Monday, March 29, 2021

UVCCM walivyoomba radhi vijana na kuahidi ushirikiano kwa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan



Akiongea na wana habari jana jijini Dodoma Mwenyekiti UVCCM KHERI JAMES amesema haya:

"kama kuna jambo huko nyuma ambalo kwa maneno au vitendo litatumika kama rejea ya kuzuia dhamira ya Rais wetu sisi tunasema tunaomba radhi na tupo tayari kushirikiana na Rais wetu"

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...