Sunday, March 21, 2021

RAIS SAMIA AONGOZA VIONGOZI NA WANANCHI DODOMA KUPOKEA MWILI WA HAYATI MAGUFULI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Viongozi na Wananchi wa JiJi la Dodoma kupokea Mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli ulipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Dodoma leo Machi 21,2021. (Picha na Ikulu)


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...