RAIS SAMIA AMTEUA BALOZI YAHAYA KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI KUCHUKUA NAFASI YA DK. BASHIRU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Yahaya Katanda kuwa Katibu Mkuu Kiongozi akichukua nafasi ya Balozi Dkt. Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Mbunge.