Saturday, November 14, 2020
TAKUKURU na Mkurugenzi wa jiji Dar waokoa bil. 12 ujenzi wa stand ya Mbezi Luis
Mkurugenzi mkuu Takukuru, Brigedia John Mbungo amesema ofisi yake kwa kushirikiana na mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Zipora Liana wamedhibiti Sh12 bilioni ambazo zingelipwa kinyume na mipango katika mradi wa ujenzi wa stendi mpya ya mabasi mkoa wa Dar es Salaam.
Mbungo ameeleza hayo leo Jumamosi Novemba 14, 2020 katika mkutano wake na waandishi wa habari.
Amesema fedha hizo zilikuwa zinalipwa kwa makandarasi kama ziada kwa kazi ambayo haikufanyika.
"Udhibiti huu umefanikiwa kwa kuwa na wachunguzi na wataalamu wa ujenzi kutoka Takukuru waliokuwa wakifuatilia kazi hii kwa karibu," amesema.
Mbungo ametoa pongezi kwa Liana huku akitoa wito kwa wakurugenzi wengine kuendelea kushirikisha na taasisi hiyo kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha fedha za Serikali zinazotokana na kodi za wananchi zinatumika kulingana na malengo yaliyowekwa.
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe asomewa mashtaka matatu ya uchochezi, yenye nia ya kuleta ch...
-
Mfanyabiashara raia wa Kenya, Raphael Ongangi anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay, Dar es Salaam nchini Tanzania am...
-
MWANA-mfalme wa Uingereza,. Prince Charles, ambaye ni mtoto wa kwanza wa Malkia Elizabeth wa Pili wa Uingereza, na mrithi wa kwanza katika ...
-
Vijana wametakiwa kuwa wazalendo katika nchi yao kwa kukemea vitendo viovu katika jamii na kutoa taarifa za uhalifu na wahalifu. Aidha Sil...
-
Zikiwa zimesalia siku chache tu Hoteli Mpya ya Kisasa yenye Ubora wa hali ya juu 'SHY PARK HOTEL' ifunguliwe Rasmi mwezi Agosti 202...
-
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amefunga rasmi mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa maaskofu na wachungaji wa makanisa ya...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
