OFA OFA OFAAAAAA!
Funga mwaka na kumiliki kiwanja cha ndoto zako! Kwa mkopo nafuu kabisa usio kuwa na riba wala dhamana yoyote ile.
Sasa unaweza kumiliki kiwanja kilicho pimwa na chenye hati kwa kulipa kidogo kidogo ndani ya mwaka mzima yaani miezi 12 na zaidi ya mwaka mmoja kwa viwanja vyetu vya Kigamboni (Gezaulole)
Hii ni ofa kabambe kwa wateja wetu wote wa viwanja hasa kwa msimu huu wa siku kuu za krismasi na mwaka mpya.
Viwanja vyetu vipo maeneo yafuatayo;
- Goba (kisauke) bei 35,000 kwa Sqm
- Madale (Flamingo) bei 40,000 kwa Sqm
- Bunju "A" (kinondo - mji mpya) bei 25,000 kwa Sqm
- Kerege (matumbi) bei 17,000 kwa Sqm
- Mbweni (kiharaka) bei 25,000 kwa Sqm
- Kigamboni (Gezaulole) bei 18,000 kwa Sqm (ofa ya hivi viwanja ni kwamba mteja atalipia laki tano tano tu kila mwezi mpaka atakapo kamilisha malipo yake husika)
- Mbezi (Luguruni) bei 35,000 kwa Sqm
- Goba (lastanza) bei 45,000 kwa Sqm
NB: Viwanja vyetu vyote vimepimwa na vina hati, mteja atakabidhiwa hati miliki ya kiwanja chake husika mara tu baada ya kukamilisha malipo yake husika.
- Ofisi yetu ipo jengo la Mwenge towet opposite na Mlimani city.
Tupigie: 0757712776 / 0656489722 / 0783389952
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
