Friday, September 4, 2020
Jamii ya Pwani na Utamaduni wa Sherehe za Kumtoa Binti Mwali.....
Katika baadhi ya Mikoa na Pwani ya Tanzania, wana utamaduni wa binti kupatiwa Mafunzo Maalumu ya Kimila au maarufu kama 'Kufundwa' na hujumuisha wasichana kuwekwa ndani kwa muda wa miezi kadhaa
Kwa binti ambaye hajapitia tukio hili huonekana kama atakuwa na hasara kubwa katika maisha yake ya ndoa ya baadaye kwani huonekana kama vile hajui mambo mengi ya kumridhisha mume kwa mujibu wa mila
Miongoni mwa Jamii inayotajwa kuendeleza mila hizi ni Wamakonde kutoka Kusini mwa Tanzania na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Pwani, ndani na hata nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
Wazawa hawa wanamcheza binti kuanzia umri wa miaka 10 ambapo binti huelekezwa unyumba, namna ya kukaa na mume, nguo za kuvaa akiwa na mumewe, chakula cha kupika na kadhalika
Aidha, utamaduni huu umekuwa ukilaumiwa na baadhi ya watu kuwa ndio chanzo cha kusitisha masomo kwa wasichana wengi pamoja na mimba za utotoni kwani sherehe hizi zinafanyika wasichana wanapomaliza darasa la 7 au hata kabla hawajamaliza elimu hiyo
Ni tamaduni nyingine zipi zinazofanyika kwenye Jamii inayokuzunguka?
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Wanajeshi wawili wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wamejeruhiwa baada ya kifaru cha Israel kufyatua risasi kuelekea mnara wa Umoja wa M...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Mamlaka za China zipo mbioni kudhibiti ongezeko la harusi za kifahari amabazo zimekuwa zikishamiri katika miaka ya karibuni. Kwamujibu wa ma...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
Katika kila makabiliano ya kijeshi kati ya Israel na Lebanon, bila kujali ni upande gani unaopigana huko Lebanon, Mto Litani, moja ya mito...