Friday, September 4, 2020
Jamii ya Pwani na Utamaduni wa Sherehe za Kumtoa Binti Mwali.....
Katika baadhi ya Mikoa na Pwani ya Tanzania, wana utamaduni wa binti kupatiwa Mafunzo Maalumu ya Kimila au maarufu kama 'Kufundwa' na hujumuisha wasichana kuwekwa ndani kwa muda wa miezi kadhaa
Kwa binti ambaye hajapitia tukio hili huonekana kama atakuwa na hasara kubwa katika maisha yake ya ndoa ya baadaye kwani huonekana kama vile hajui mambo mengi ya kumridhisha mume kwa mujibu wa mila
Miongoni mwa Jamii inayotajwa kuendeleza mila hizi ni Wamakonde kutoka Kusini mwa Tanzania na baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Pwani, ndani na hata nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam
Wazawa hawa wanamcheza binti kuanzia umri wa miaka 10 ambapo binti huelekezwa unyumba, namna ya kukaa na mume, nguo za kuvaa akiwa na mumewe, chakula cha kupika na kadhalika
Aidha, utamaduni huu umekuwa ukilaumiwa na baadhi ya watu kuwa ndio chanzo cha kusitisha masomo kwa wasichana wengi pamoja na mimba za utotoni kwani sherehe hizi zinafanyika wasichana wanapomaliza darasa la 7 au hata kabla hawajamaliza elimu hiyo
Ni tamaduni nyingine zipi zinazofanyika kwenye Jamii inayokuzunguka?
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
Kulia ni Mkurugenzi wa Stedom House of Beauty Bi. Stella Mhondo akigonga Cheers na wadau wa masuala ya Urembo na Vipodozi waliohudhuria uzin...
