
Diamond Platinumz na wanenguaji wake wakitoa burudani kwa mashabiki kwenye tamasha la SIMBA DAY leo katika uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akishiriki kutoa burudani kwenye jukwaa pamoja na Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz kwenye tamasha la SIMBA DAY leo katika uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.


Mo Dewji akisakata burudani

Helikopta iliyowabeba Diamond Platinumz na Haji Manara ikiwa inazunguka uwanja wa Mkapa kabla ya kutua

Mashabiki wa Klabu ya Simba waliojitokeza kuipa sapoti timu yao kwenye tamasha la SIMBA DAY

Wachezaji wa timu hiyo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza mchezo

Msanii Diamond Platinumz akitoa burudani

Msafara wa Diamond Platinumz na Haji Manara ukiteremka kwenye Helikopta katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam kwenye tamasha la SIMBA DAY

Mchezaji Shomari Kapombe akipasha misuli kabla ya mchezo

Helikopta ikitua uwanjani hapo

Madencer wa Diamond Platinumz wakitoa burudani kwa mashabiki waliojitokeza uwanjani
Picha kwa hisani ya Simba SC Tanzania