Monday, August 17, 2020
Harmonize,H Baba Wamfanyia Surpise Barnaba Classic
Wikiendi ilikuwa ndefu au busy sana kwenye upande wa burudani kutokana na yaliyotokea kuanzia Uwanja wa Uhuru ambapo zaidi ya wasanii 100 walifanya show kupitia chama ca Mapinduzi CCM pamoja na show aliyoifanya Barnaba.
Tuliangalie hili la Barnaba ambalo alitumia zaidi ya saa 3 stejini kufanya show ambayo ilihudhuriwa na mastaa kibao kama Harmonize, Gigy Money, Lulu Diva, H Baba, Country Boy, Linah, Aslay, Tunda , Whozu, Kusah, Beka Flavour , Chegge na Don Dada "Masha Love".
Kubwa ni suprise aliyofanyiwa Barnaba na wasanii wenzake ambao waliweza kumtunza pesa za kutosha wakati wa show hiyo, kwa harakaharaka unaweza kusema Barnaba amemwagiwa vibunda vya kutosha ambayo anaweza asifanye tena show mwaka huu na bado angebakiwa na pesa hizo.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...