Saturday, July 25, 2020
Waandamana Kupinga Mshindi Kura Za Maoni Ubunge
Mbunge wa Jimbo la Magomeni akabidhi Basi Jimboni - ZanziNewsIkiwa zimepitia siku kadhaa baada ya kunalizia kwa uchaguzi wa ngazi ya jimbo wa kupendekeza majina ya wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) watakaogombea ubunge na uwakilishi kwenye uchaguzi ujao mapema mwezi Oktoba.
Wakazi wa jimbo ka Magomeni visiwani Zanzibar wameandamana mpaka nyumbani kwa mshindi wa uchaguzi huo Jamal Kassim kwa lengo la kupinga ushindi wake baada ya uchaguzi uliofanywa na wa wajumbe chama.
Waandamaji walioandama na ngoma na mabango wamesema hawezi kukubari Jamali kupewa nafasi ya kuongoza tena kwenye jimbo hilo aliloliongoza kwa miaka kadhaa.
Bado mchakato wa ndani ya chama wa kutafuta wagombea unaendelea mpaka pale majina kutoka hamashauri kuu ya chama hicho yatakapoletwa kwenye ngazi za awali za chama kwa ajili ya kutagaza kwama wagombea rasmi wa chama hicho.
CHANZO: JamiiForums
Source
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...