Akiongea na Waandishi wa habari ameeleza kuwa kuna ujumbe ukiokuwa unatembea ukieleza kuwa yeye aliwapigia simu Waislam wote Kigamboni ili kumpigia kura Makonda.
"Mimi siwezi kufanya hivyo nilimsaidia na kumuombea wakati akiwa mkuu wa mkoa, sisi tunafanya hivyo tukijua anamsaidia Mh. Rais na sisi tunafanya kazi na kiongozi yetote, Makonda alilikoroga mwenyewe "
Mbali na hilo Sheikh wa Kigamboni pia amefafanua kuwa yeye akiwa kama kiongozi Kigamboni hakuna taarifa kama hizo.