Ndugu zangu aisee nimekamatika najuta kukatongoza katoto ka kinyamwezi. Yapata mwaka mmoja tangu niwe kwenye mahusiano na huyu mtoto wa kinyamwezi. Nimekutana nae college namaliza mwaka wa tatu clinical officer na yeye anaanza kusoma Medical Doctor.
Mimi najikuta nataka nimpotezee lakini kila nikitongoza naambiwa ninae mtu, wewe ni muongo na neno linaloniumiza zaidi la "wewe unaye mtu." na cha ajabu hawajui chochote kuhusu mimi wala kama nina mtu
Na mtoto kaniganda mara anasema nikimaliza tu chuo unanioa. Aisee sijui nifanyeje kila nikitongoza nakataliwa na haikuwa kawaida yangu, kwa wiki nilikuwa nakula wanawake Wanne... Mpaka leo nimetimiza idadi ya wadada kumi wakichaga wananikataa. toka niwe naye
Naomba ushauri please
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
