Friday, July 24, 2020
China yalipiza kisasi kwa Marekani, yaiamuru kufunga ubalozi wa Chengdu
China hii leo imeiamuru Marekani kuufunga ubalozi wake mdogo katika mji wa magharibi wa Chengdu, ikilipiza kisasi cha kufungiwa wake ubalozi mdogo wa mjini Houston mapema wiki hii.
Msemaji wa wizara ya mambo ya ndani ya China Wang Wenbin, amesema Marekani ndiyo ya kulaumiwa.
Utawala wa Rais Donald Trump uliamuru Jumanne kufungwa kwa ubalozi huo mdogo wa China mjini Houston katika saa 72, ukidai kwamba maafisa wa China walijaribu kuiba data kutoka katika Taasisi ya sayansi ya Matibabu ya Chuo Kikuu cha Texas A&M.
Marekani imeishutumu China kwa wizi huo wa taarifa za kitaaluma, siku moja baada ya wizara ya sheria kuwafungulia mashtaka raia wawili wa China kwa madai ya kudukuwa kampuni kadhaa za Marekani na kujaribu kuiba utafiti wa chanjo dhidi ya virusi vya corona.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga Daktari Daniel Henry Na Isaac Masengwa ******************* Askofu mteule wa KKKT Dayosisi ya Mwanga...
-
WATU saba wamefariki dunia baada ya bajaji waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori eneo la Mpemba, Tunduma wilayani Momba, mk...
-
Ninakualika kutazama Video Mpya kabisa mwaka 2021 kutoka kwa Msanii Yobat amemshirikisha Bhudagala Ng'wana Malonja na Shija Kadoke wim...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Msanii wa nyimbo za asili Nyanda Madirisha Obhado 'Maliganya' maarufu Shikomba Bhulolo anakualika kusikiliza wimbo wake mpya 2021 un...
-
Rais Uhuru Kenyatta na viongozi wengine nchini Kenya wametuma salamu zao za rambi rambi kwa familia ya marehemu Yusuf Haji. Rais Uhuru Kenya...
-
NA REBECA DUWE TANGA Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batlida Burian amewataka wananchi wenye migogoro mbalimbali ikiwemo ya ndoa na ardhi ...
