Friday, July 24, 2020
China yalipiza kisasi kwa Marekani, yaiamuru kufunga ubalozi wa Chengdu
China hii leo imeiamuru Marekani kuufunga ubalozi wake mdogo katika mji wa magharibi wa Chengdu, ikilipiza kisasi cha kufungiwa wake ubalozi mdogo wa mjini Houston mapema wiki hii.
Msemaji wa wizara ya mambo ya ndani ya China Wang Wenbin, amesema Marekani ndiyo ya kulaumiwa.
Utawala wa Rais Donald Trump uliamuru Jumanne kufungwa kwa ubalozi huo mdogo wa China mjini Houston katika saa 72, ukidai kwamba maafisa wa China walijaribu kuiba data kutoka katika Taasisi ya sayansi ya Matibabu ya Chuo Kikuu cha Texas A&M.
Marekani imeishutumu China kwa wizi huo wa taarifa za kitaaluma, siku moja baada ya wizara ya sheria kuwafungulia mashtaka raia wawili wa China kwa madai ya kudukuwa kampuni kadhaa za Marekani na kujaribu kuiba utafiti wa chanjo dhidi ya virusi vya corona.
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na...
-
Mhamasishaji maarufu wa mitandaoni, Mwijaku, ameandika ujumbe unaotoa ushauri kwa Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Said Hersi, kupitia ukuras...
-
Zaidi ya ghorofa 100 jijini Dar es Salaam zilibainika kujengwa kinyume cha taratibu za ujenzi, Bunge lilielezwa. Kwa mujibu wa ripoti iliy...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania November 23, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za ny...
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 9, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na ...
-
Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025 Msimamo Ligi Kuu Bara 2024/2025, NBC Premier League Tanzania Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier...
-
Na Mbuke Shilagi Kagera. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amesema kuwa mradi wa umeme wa maji ya maporomoko wa Rusumo...
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Hii hapa ngoma mpya ya Msanii wa Nyimbo za asili Mama Ushauri ameshirikiana na Ng'wana Ng'washi inaitwa Merimela ,imetengenezwa Lw...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...