WAKULIMA kisiwani Pemba wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwepo na kiwanda cha kutengeneza unga wa sembe kisiwani humo cha KANGAROO SUPER SEMBE kwa kuwekeza katika kilimo cha mahindi ili kukidhi mahitaji ya kiwanda hicho, ambacho kinahitaji zaidi ya tani 50 kwa mwezi.
Ushauri huo kwa wakulima umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Wete Kepteni Khatib Khamis Mwadini wakati wa ziara yake kwenye kiwanda hicho ambapo amewataka wakulima kuwekeza zaidi kwenye kilimo cha Mahindi kwani mbali na kuzalisha ajira pia soko lake ni la uhakika.
Amesema kuwa ujenzi wa kiwanda hichi ni kuunga mkono juhudi za serikali katika kuelekea kwenye uchumi wa viwanda
Mkurugenzi Mtendaji wa kiwanda hicho Ali abdalla sharif amesema wanalazimika kufuata malighafi nje ya Kisiwa cha Zanzibar kutokana na kutokuwepo wa malighafi hiyo visiwani humo.
Baadhi ya wananchi wamekizungumzia uwepo wa kiwanda hicho wamesema utawapunguzia gharama wafanyabiashara ya kufuata unga wa sembe nje ya Kisiwa hicho na kuwataka wananchi kuhamasika kulima kilimo cha mahindi.
Kiwanda hicho kwa siku kinazalisha tani themanini(80) ambazo hata hivyo hazikidhi mahitaji ya soko la ndani.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...