Tuesday, June 9, 2020
RPC Muroto atoa onyo kali kuhusu tukio la Mbowe
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, amesema wanaendelea na uchunguzi wa tukio la kushambuliwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA ambapo ameonya watu kutotumia tukio hilo kisiasa.
Muroto amesema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari jijini Dodoma, kutoa taarifa juu ya shambulio ambalo amefanyiwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freema Mbowe.
''Onyo kali kwa wanasiasa na mtu yeyote atakayetumia tukio hili kwa namna yoyote ile ikiwemo kujiongezea umaarufu au kuingilia uchunguzi wa polisi, tutamshughulikia kweli'', amesema.
Aidha amethibitisha kweli kushambuliwa kwa Freeman Mbowe na amesema wanaendelea na uchunguzi ikiwemo kuwahoji majirani na watu wengine huku akisisitiza kuwa hataachwa mtu yeyote ambaye anahusika.
-
Baadhi ya raia walioyatoroka makaazi yao baada ya mlipuko wa volkano uliotokea usiku wa kuamkia huko mjini Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kid...
-
Bongo Deco wauzai wa vifaa mbalimbali vya umeme kama TV, Subwoofer, Hometheator, Majiko madogo na makubwa ya Gesi, Friji, Generator nk leo w...
-
Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu akitoa hotuba yake kwa wageni mbalimbali waliohudhulia dhifa iliyoandaliwa maalum kwa kumk...
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii wa Jamhuri ya ...
-
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospita...
-
Kupitia ukurasa wake wa Instagram mjasiriamali Faiza Ally ameweka wazi hisia zake na kusema kuwa anatamani sana kuona msanii wa Bongo Flev...
-
UNAPOTAJA jina la mwanamuziki mkubwa barani Afrika, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kutoka Tanzania, akili za wengi zinakimbilia kwe...
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya siku tano ya kunyesha mvua kubwa inayoweza kusababisha athari ikiwemo mafuriko. ...
-
Msanii maarufu Ntemi O Mabala ' Ng'wana Kang'wa kutoka Kahama Mkoani Shinyanga anakualika kusikiliza wimbo wake mpya unaitwa M...
-
Geneva, Switzerland /AFP /.More than 100 groups urged the International Labour Organization to stop taking money from tobacco companies as t...